Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe

Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe

9  
Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje

10  
Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.

11  
Utupe leo riziki yetu.

12  
Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.

13  
Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]

Matthew 6 in Swahili

Matthew 6 in English

CategoriesIsio-gawanyo